22.11.13

Monday, August 12, 2013

(News) ZITTO KABWE: Mimi sina FOUNDATION yeyote na wala sitoi MIKOPO.

Naomba kurudi kusema kwamba mimi sina foundation yeyote na wala sitoi mikopo. Nimeshatoa taarifa vyombo vya dola kwamba kuna matapeli wanatumia jina langu kukusanya fedha kwa watu. Sihusiki na foundation yeyote, sina mradi wowote wa kutoa mikopo. Ninatumia akaunti 2 za Facebook. Hii na ile ya Zitto Z Kabwe. Usikubali kutapeliwa. Toa taarifa Kituo cha polisi namba yeyote unayopewa kutuma M pesa, Tigo pesa, Airtel Money au Eazy Money.

No comments: