22.11.13

Friday, August 23, 2013

(Video) Msanii mkongwe katika muziki Maalim MUHIDIN NGURUMO ametangaza kustaafu uimbaji.

Msanii maarufu na mkongwe katika muziki nchini Tanzania Maalim Muhidin Ngurumo leo ametangaza rasmi kustaafu uimbaji huku akiomba serikali imsaidie katika maisha yake nje ya muziki.

No comments: