22.11.13

Sunday, September 22, 2013

(Photo's) Yaliyojiri kwenye bday party ya DJ CHOKA pale NYUMBANI LOUNGE


Wakwanza kulishwa keki alikuwa dada yangu Lady Jay Dee.

Wa pili kula keki alikuwa mama mtoto wangu anaitwa mama Harrison
 

Kushoto ni mdogo wangu wa pili anaitwa Neema halafu mama Harrison halafu mdogo wa tatu na wa mwisho kwenye familia yetu anaitwa Judy


Lady Jay Dee na wifi yake mama Harrison
 

Monica, Rechal Temu na Mama Harrison

1 comment:

Anonymous said...

choka kumbe una dada wazuri hongera bwana.