22.11.13

Sunday, October 20, 2013

(News) KCB BENKI YAENDELEA KUBORESHA MAZINGIRA YA KIELIMU NCHINI

 Baadhi ya wanafunzi wa shule ya msingi Hananasif wakifurahia mara baada ya kupewa msaada wa madawati 100  na benki ya KCB  Tanzania,Jumla ya madawati 731 yenye thamani ya shilingi Milioni 121 yametolewa  kwa shule za msingi 6 na sekondari moja ya oysterbay zote za Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.

 Ofisa Mahusiano wa benki ya KCB Tanzania Fabian Qwaray akiwasikiliza wanafunzi wa shule ya msingi Hananasif wakati wa kukabidhi msaada wa huku madawati  100 yaliyotolewa na benki hiyo,Jumla ya madawati 731 yenye thamani ya shilingi milioni  121 yametolewa  kwa shule za msingi 6 na sekondari moja ya oysterbay zote za Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.

 Ofisa Mahusiano wa benki ya KCB Tanzania Fabian Qwaray (kulia )akimkabidhi Mwalimu Mkuu  wa shule ya msingi Hananasif,Bw. Peter Kimangano msaada wa madati 100 yaliyotolewa na benki hiyo,Jumla ya madawati 731 yenye thamani ya shilingi Milioni 121 yalitolewa  kwa shule za msingi  Makumbusho, Mbuyuni, Mkunguni,Hananasif Msasani B na sekondari ya oysterbay zote za Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.

 Meneja Uhusiano wa Umma  wa benki ya KCB Tanzania,Bi. Hellen Siria akimfungia  kamba za viatu vya mwanafunzi wa shule ya msingi Mkunguni baada ya kukabidhi msaada wa madati 100 kwa shule hiyo Jumla ya madawati 731 yenye thamani ya shilingi Milioni 121 yalitolewa  kwa shule za msingi  Makumbusho, Mbuyuni, Mkunguni,Hananasifu Msasani B na sekondari ya oysterbay zote za Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.

 MKIKAA KWENYE MADAWATI KAMA HIVI MTAKUWA NA UELEWA SANA: Meneja Uhusiano wa Umma wa benki ya KCB Tanzania,Bi.Hellen Siria, akiwafundisha kusoma kitabu cha sayansi wanafunzi wa darasa la Tatu katika shule ya msingi Hananasif mara baada yakuwakabidhi msaada wa  madawati 100. Jumla ya madawati 731 yenye thamani ya shilingi Milioni  121 yalitolewa  kwa shule za msingi  Makumbusho, Mbuyuni, Mkunguni,Hananasifu Msasani B na sekondari ya oysterbay zote za Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.

 Ofisa Mahusiano ya nje wa  benki ya KCB Tanzania Salome Kessy akiangalia moja ya madaftari ya wanafunzi wa shule ya msingi Mkunguni ,baada ya benki hiyo kukabidhi msaada wa madawati 100 kwa shule hiyo. Jumla ya madawati 731 yenye thamani ya shilingi 121 yalitolewa  kwa shule za msingi  Makumbusho, Mbuyuni, Mkunguni,Hananasifu Msasani B na sekondari ya oysterbay zote za Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.

 Ofisa Mahusiano wa Benki ya Biashara ya KCB Tanzania tawi la Magomeni,Victoria Kisima  na Mwalimu Mkuu wa shule ya Mkunguni  Wifrida Lweyemamu  wakiwashuhudia jinsi wanafunzi wa shule hiyo walivyo jawa na furaha mara baada ya kupata msaada wa madawati 100, waliyopewa na benki hiyo . Jumla ya madawati 731 yenye thamani ya shilingi Milioni 121 yalitolewa  kwa shule za msingi  Makumbusho, Mbuyuni, Mkunguni,Hananasifu Msasani B na sekondari ya oysterbay zote za Wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam.

No comments: