Adamu Mchomvu akionyesha tshet juu iliyoandikwa maneno yabusara kabisa, hapa alikuwa na B12 wakifungua show ya Fiesta Tanga.
Alipanda Maunda Zorro kwenye jukwaa baada yakuimba wimbo mmoja akaingia msanii Q.Chief kwenye steji na watu kubaki wakishangaa kumuona maana alikuwa hajaonekana siku nyingi kwenye majukwaa.
No comments:
Post a Comment