D' Banj akiwa na mwenzake kutoka Nigeria walifanya show nzuri na ulipofikia wimbo wa Falling Love sidhani kama kuna mtu alikaa chini.
Belle 9 ndio msanii aliyefungua dimba la wasanii wa east africa kuingia kwenye jukwaa.
Kijana marlaw aliwakilisha vizuri kwa kuimba na kulitawala steji
Quick Rocka msanii ninayemkubali alipanda stejini akiwa na nguvu zote huku kwenye mtambo alikuwa dj choka akimfanyia show yake, usipimeeeeeeee
Nyomi hilo
B Dozen, B12, B Twangala, the KinG of afternOOn shOw akiwa kwenye jukwaa.
Braza wa Ma crank Cpwaa niliipenda show yake
Ally Kiba mzee wa Pamba, Mutu wa watu,
TID aka Top In Dar aka Top in Jail akiwa kwa steji
Joh Makini mwamba wa kaskazini alipanda kwenye steji na msanii wenzake wa Atown Gnako, na show aliyoitoa usiipimie kabisaaaaaaa
Gnako aka G gwala gwala.
Kutoka Nairobi tena anaitwa Nameless akiwaambia mabinti huwa anasinzia akiwa anawawaza.
Mpango mzima ukafikia kwa Cowbama Mangwear alipopandishwa na dj choka 4 da 1 & 2, show ilikuwa kali zaidi alipopanda mtoto wa kitaa BAbuU.
Piga Nduruuuuuuuuuuuuuuu, ikafikia zamu ya Jua Kali kutoka Nairobi - Kenya, show ilikuwa poa sana na nduru zilisikika kila kona, BIG UP BRO.
No comments:
Post a Comment