Huu ni mkutano uliofanyika mchana huu na kuzungumzia show nzima kwa jinsi itakavyokuwa kesho pale Tanganyika Packers Ground (Kawe). Tamasha hili ambalo limepewa jina la STR8MUZIK - Inter-College Special 2009 litakuwa na wasanii kibao wakiongozwa na D Banj (Nigeria), Nonini, Juacali and Nameless (Kenya), Mangwea, T.I.D, Quick Racker, Belle 9, Marlaw, Cpwaa,Joh Makini , THT, BEST FRIENDand 2 Suprise artist
No comments:
Post a Comment