22.11.13

Friday, November 27, 2009

MCHANA HUU D BANJ ALITEMBELEA VIWANJA VYA TTC

Huu ni mkutano uliofanyika mchana huu na kuzungumzia show nzima kwa jinsi itakavyokuwa kesho pale Tanganyika Packers Ground (Kawe). Tamasha hili ambalo limepewa jina la STR8MUZIK - Inter-College Special 2009 litakuwa na wasanii kibao wakiongozwa na D Banj (Nigeria), Nonini, Juacali and Nameless (Kenya), Mangwea, T.I.D, Quick Racker, Belle 9, Marlaw, Cpwaa,Joh Makini , THT, BEST FRIENDand 2 Suprise artist

Nonini akifuatilia habari kwa ukamilifu.

D Banj alikuwa ananiuliza kuhusu chakula gani ale ashibe coz mimi najiita Mr. Apetite.

Jukwaa lenyewe ndio hili likiwa kwenye hatua za mwisho.

HABARI ZILIZONIFIKIA HIVI PUNDE ZINASEMA
TIKETI NI SH 3500/= NA UTAPATA BIA 3 MLANGONI...hii ni Eid Adhuhuna
Ilaleeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee.

No comments: