Wakinadada wakiwa wamevalia full jezi, wakatikati alikuwa ameshikilia tishet ili watu wapande dau na aliyewazidi wenzake aliondoka na hiyo tishet ya Liverpool.
Hawa ndio walioshinda jezi ambazo zilikuwa zinapigiwa mnada, na fedha iliyopatikana hapo ilipelekwa kwa vituo vya watoto yatima.
Watoto wa THT wakiwa wameshikilia vitu vyenye muundo kama wa palashut na kuviachia vipeperukie angani.
Kama unavyoviona vikiwa vinaelekea kuleeeeeeee
No comments:
Post a Comment