22.11.13

Wednesday, December 02, 2009

Message kutoka Bano to all his fans baada ya interview ya J Murder owner wa Tongwe Records Jumamosi on Bongo Flava.

Habarini ndugu zangu watanzania?
I hope kila mtu yu salama.Nimeamua kuchukua fursa hii kuongea na umma juu ya roumuz zinazo nikabili mimi.Ningependa watu waajue kuwa J-RYDA was a close friend of mine hata J-MURDA naye pia.I wonder why wameamua kunifanyia hivyo by this hour?TONGWE was facing a problem by the time producer wao DUKE anaondoka studio so they needed a producer & J-MURDA was a brother of my school mate so ikawa rahisi kunipata mimi.I started producing the songs tongwe kuanzia mwezi march mpaka july.Kukaanza kutokea matatizo baina yangu mimi na the owner coz alishindwa kunilipa pesa za matangazo ambazo zilikuwa zimebaki,tuligombana sana then nkaona ngoja nirudi nyumbani.Nikawa naenda studio when im needed nkawa sijiendei tu.By august nkaanza kumpeleka J-RYDA studio with our fellow producer named carson-g.By 26 of august me nkasafiri kuja kusoma which means me na j-ryda kama kukaa tongwe studio me na yeye its jus only 3 weeks ambazo in real sense hakuna production isiyozidi nyimbo 3 hata kama mtu una usongo gani u cant produce more than 3 songs pre 3 weeks.

Yeye kuclaim me nimeondoka nanyimbo zake its meaningless coz they know dat me nlikuwa nimeproduce nyimbo ngapi before mimi kuondoka tho by the time me naondoka ni nyimbo moja tu ''watoto wa mjini'' ya jos mtambo & chidi benz ndio iliyokuwa imetoka.Alaf ever since i started my music career sijawahi kutengeneza pesa yeyote ile kutoka kwenye music,so i hope u pipo can feel the feeling ambayo i am going through rightnow.

Tukiwa studio kuna vitu vingi sana vinatokea kwa mfano;u can make the whole song alaf ukamsikilizisha mwenzio akupe comments zake then maybe anakwambia the bass haijakaa vizuri then unamwambia put it the way u want,akishafanya then off u go.Sasa beat za style hii zipo nyingi sana ambazo me na RYDA tumefanya ever since kitambo till 2day.Angesema hizo ndio zake kidogo ningemuelewa but he did not do that.

Talking about goodboi,nimerudi ya cyrill and further songs kuwa they are not my art haya aseme but in heart he knows.Nikianza kugombania nyimbo ambazo they are about to fade out ni ujinga!!! kama anaclaim ameproduce si kuna nyimbo mpya ambazo yeye ameproduce do they vary na hizo ambazo nimeproduce?!!!!

Furthermore,alikuwa wapi kusema hivyo muda wote nyimbo zinatoka naenda kwenye interviews sometimes i even forget na ye huwa ananikumbusha dat yo boi u got these interviews and all dat.Siku ambayo me naondoka nakumbuka niliwatumia texts yeye na our other fellow CARSON -G dat i did not take them to the spot ambayo nlitaka tufike so they shud fight for that coz atleast mimi nimeweza kuwafungulia njia so it wili be easy for them to reach up.

3 weeks kabla ya leo ilininbox na kuanza kuniambia dat i think its time for him to go on alone with the music career so its like he duznt need me anymore.Ila kama ni goodtymes tule pamoja kama kawaida.The way nilivyomuelewa mimi its like alikuwa ananidump, nkamwambia poa.We were talking about so many things even future projects and all dat so dat means kulikuwa hamna tatizo lolote.

J`mosi ambayo wamefanya interview usiku wake we were on facebook chatin as if he did not do anything to harm me.Sunday nkaanza kupokea simu kutoka kwa watu tofauti wakiniambia about this,nkasema ngoja niulize imekuwaje.Nkampigia Cyrill and he told me the same thing,nkaongea na dozen ye ndio akaniambia dat they did the interview na wewe so dats why i decided to txt you.Niliongea na nick wa pili na watu kadhaa kila mtu akawa anashangaa.

Nway,

They shud come up with a new plan ya kuinyanyua studio but not kuwa mislead my pipo.And kuhusu nyimbo kudistribute online!
naomba wanitajie hizo webs ili nizidistribute kweli sasa without a doubt coz itakuwa haileti maana kama nikizificha tena.And i promise them kila baada ya siku 3 ntakuwa nazitoa kweli.Wanitajie web moja tu nifanye kazi yangu.
Kukaa kunipakazia vitu vya ajab ni si busara njema kwani ni kunidhalilisha na si kuniaibisha.Kama wanataka kunyanyua studio kwa style ya roumuz studio itakufa mapema sana.Alaf J-MURDA anasahau kwamba nilikuwa shule nkawa naproduce nilipohitajika shule nkaacha kuproduce which means hata RYDA nae atakuwa studio and then ataondoka kama nilivyofanya mimi.Wanatakiwa wafurahi kwamba i paved the way for them to succeed not to knock me down.

Sitatoa nyimbo hata moja ambayo nimefanya kuanzia 2007-09 so nawaruhusu wazitumie hizo nyimbo ambazo niliziacha zije kutoka baadae,wafute zile tags zangu zote waweke zao its okay i wont mind.I will just start a new page of my music career with not more than 50 songs to say goodbye to ma fans,my music career is over according to me.Sitaproduce anymore song zaidi ya hizo and i will just want to prove them wrong.NITAFANYA HIVI SI KWA KUTENGENEZA BATTLE WITH THEM BALI KWA KUWAFANYA WATENGENEZE VITU VIZURI KAMA VYANGU,KWANI WALIVIONA NI VIZURI NDIO MAANA WANAVIGOMBANIA.

Alaf i got a good msg for them, wasikilize lyrics zangu za nyimbo ya ''ON FIRE'' watajihisi niliwataja wao and its true coz i was prepared for this to happen 1 year ago.So i am forever prepared they shud get a new plan.Money its juss the other side of life so wasichanganyikiwe sana 200,000 kuna millions and billions watu wanashika na still they act cool.

Nawatakia kila la kheri katika maisha yao ya kimuziki.And thanks pia kwa watu wote watakao kuwa bega kwa bega na mimi katika hili.

Thanks to u once again,

Yours,
Bano Stylez Dha General.

No comments: