22.11.13

Tuesday, December 08, 2009

TUMETOKA KIDOGO.

Leo hawa majamaa wamechukua ndege na kuelekea South Africa mji wa Captown kwa ajili ya show ya tarehe 11 na 12 mwezi huu, show hiyo itafanyika Daban na wanategemea kurudi jumanne ijayo.

No comments: