AY ameondoka leo asubuhi kuelekea nchini Uingereza tayari kwa show yao itakayofanyika Jumamosi, Ay ameondoka na ndege ya British Airways majira ya saa 3 asubuhi. Ay ameongezea kwa kusema hii ni mara yake ya kwanza kufanya show UK na anataka kuweka sura mpya ya show za kibongo kwa mwaka huu 2009. Mwana FA yeye ataondoka siku ya Ijumaa na atabakia huko kwaajili ya masomo yake.
AY akiwa anatoa vitu kwenye gari tayari kwenda kucheck in
Mr. Fix it rafiki mkubwa wa ay alikuwepo uwanjani kumsindikiza
AY akiwa kwenye tabasamu pana
Bye bye AY tunakutakia show njema na mungu akubariki ufike salama
No comments:
Post a Comment