22.11.13

Sunday, July 18, 2010

TATIANA ADATA NA SEAN PAUL

Wakati washiriki wakiingia ndani hapa Tatiana alikuwa akibadilishana mawazo na Mwisho Mwampamba. Kuna kitu kilikuwa kikiendelea ndani ya house kila mshiriki alitakiwa kusema SECRET yake ni nini, ilifika zamu ya mtu mzima Mwisho kusema Siri yake na alisema kwamba
"My secret is, i have lost ma two chicks, one is sing like Celion Dion and another one is sing Hip Hop"
Sasa kithungu nilichokitumia hapa nimekipatia au?

Sean Paul alivyoingia ndani ya House kusalimiana na washiriki wanaogombania $200,000 alikaribishwa na Tatiana na kuonyeshwa kulivyo ndani ya jumba hilo

Watu wazima mda ulivyofika ikatakiwa kusepa ndani ya jumba hilo

Sean Paulllllllllllllllllllllllll ndio sauti aliyokuwa akiitoa huku akimuaga kwa kumiss

Akaona haitoshi mwanadafada alimfuata hadi mlango na kumukumbatia mwisho mwisho, ha hah i like dat

No comments: