22.11.13

Monday, August 02, 2010

TAMKO RASMI LA Zamaradi Mketema HILI HAPA.

AM VERY HAPPY sababu NIMETHUBUTU kitu ambacho watu wengi wanakihofia na hiyo ni alama na dalili nzuri sana kwangu, siku zote naamini kwamba UTHUBUTU ni ALAMA YA UJASIRI na mtu jasiri ziku zote ATASHINDA TU. huu ni mwanzo mzuri kwangu ukizingatia kwamba target yangu haikuwa kushinda ila ni kujitengenezea mazingira mazuri na njia ya kujitambulisha kwenye siasa, na kwa kiasi kikubwa sana nimefanikiwa katika hilo (kufikia targert yangu)na huo ni ushindi tosha kwangu.

NILICHOFURAHI ni kwamba UWEZO WANGU UMEONEKANA na NIMEFURAHI pia kwa KUTEULIWA kuwa MJUMBE kwenye KAMATI YA MAHUSIANO NA JAMII. Its a good starting point and am really happy ndani ya muda mfupi huu niliokuwa kwenye mchakato nimejifunza vitu vingi sana na nimepata experience kubwa mno, naweza nikasema ZAMARADI wa wiki mbili zilizopita ni TOFAUTI na ZAMARADI wa sasa kwani kuna mengi sana ambayo nimeyaona na kujifunza.
Malizia story hii kupitia kwenye blog yake hapo chini.
www.zamaradimketema.blogspot.com

No comments: