22.11.13

Monday, September 27, 2010

UZINDUZI WA VIDEO YA FUNGENI MIKANDA NDANI YA CLUB BILLICANS.

Usiku wa kuamkia leo pale Club Billicans kulikuwa na show ya Chege na Temba pamoja na utambulisho wa video yao mpya inayokwenda kwa jina la FUNGENI MKINDA. 
Na hizi ni moja kati ya matukio yaliyotekea usiku wa kuamkia leo Jumatatu.

 Ma nica Jabir & Dj Choka ndani ya Club Bills.

 Nikiwa kwenye pozi na shemeji yangu wa ukweli

 Hasheem 5 & Dj Choka

 Me na mwandishi kutoka Global Publisher bwana Gerald

 B12, Devi & Miss Jamillah

 Dj Choka & Producer Baucha

 Chege na wanawe wa ukweli.

 Chege na mnyamwezi Pacha

Hapa baada ya kutoka nje nikakutana na wadau wa blog hii na tukaona sio mbaya kuchukua kumbukumbu, kulia kwangu ni braza Adamu Glasgow

No comments: