22.11.13

Tuesday, February 14, 2012

FAMILIA YA BAHATI SIGH YAWATAKIA HAPPY VALENTINE'S DAY NJEMA

Namshukuru sana mwenyenzi mungu (S.W.T) kwa kutufikisha siku ya leo tarehe 14/2/2012 (Valentines Day), ambapo leo tumetimiza miaka miwili ya ndoa na kujaaliwa watoto wawili, Lemmysa alizalliwa tarehe 25/9/2010 na bahati pia alizaliwa tarehe 5/12/2011.Hatuna cha kumlipa Mungu,bali ni kumshukuru na kumuomba atupe maisha marefu ya ndoa na niendelee kumpenda Mke wangu Zeenat milele na wanangu awape malezi mema na maisha marefu. Asanteni,Nawatakia Happy Valentines Day njema. Bahati sigh.

No comments: