22.11.13

Sunday, May 19, 2013

(Audio) Huu ni wimbo maalumu wa kuamasisha ugonjwa wa FISTULA umeimbwa na baadhi ya wasanii wa kike TANZANIA.


Wimbo wa kuamasisha ugonjwa wa FISTULA wa wanawake kwamba kwa sasa unatibika …umeimbwa na baadhi ya wasanii wa kike wote tanzania.>
MWASITI, VUMILIA ,DAYNA, RECHO, THE TRIO, LINAH, MAUNDA ZORRO, MENINAH, FEZA KESSY, KEYSHA, VIDA, PIPI, VANESSA MDEE, QUEEN DARLEEN, ZUHURA, BABY J, SUNDY GAGA= toa sapoti kwa kuamasisha wimbo kwamba FISTULA inatibika,Ahsante
Studio= SURROUND SOUND
Prd= NASH DESIGNER

No comments: