22.11.13

Tuesday, May 28, 2013

(Breaking News) ALBERT MANGWEAR afariki dunia katika hospital ya ST.HELLEN iliyopo JO'BURG South Africa

Habari kutoka kwa washkaji zangu walioko South Africa wamenipa ripoti ya kwamba msanii aliyekuwa akiwakilisha kundi la EAST ZOO Albert Mangwear amefariki dunia katika hosp ya St. Hellen iliyopo Jo'burg nusu saa iliyopita kutoka sasa.
MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA PEMA PEPONI
AMEN. 

4 comments:

pauljohnbosco said...

R.I.P Ngwear tulikupenda ila Mungu amekupenda zaid

Anonymous said...

Rest in peace Mr. Mikasi.

Chrisbyz said...

Ngwair, will never perish in hearts of Bongo-hip hop fans.. R.I.P 'NGWAIR'.

Anonymous said...

RIP broo, you have gone too soon daima tutakukumbuka.