22.11.13

Wednesday, May 29, 2013

(News) MSHINDI WA VODACOM MAHELA ALAMBA PIPA LEO - KIGOMAAAA

 Mhariri wa gazeti la Mtanzania Bw.Kurwa Karedia,akimfanyia mahojiano mshindi wa shilingi Milioni 100 wa Promosheni ya Vodacom Mahela,Bw.Valerian Kamugisha, alipokutana nae katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwl.Julius Nyerere akisubiri kupanda ndege kwenda nyumbani kwao Kigoma mara baada ya kukabidhiwa pesa zake hapo jana.


 Mshindi wa shilingi Milioni 100 wa Promosheni ya Vodacom Mahela,Bw.Valerian Kamugisha, alikipungnia mkono kuwaaga baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania waliomsindikiza katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwl.Julius Nyerere tayari kwa kurudi nyumbani kwao Kigoma mara baada ya kukabidhiwa pesa zake hapo jana.

Mshindi wa shilingi Milioni 100 wa Promosheni ya Vodacom Mahela,Bw.Valerian Kamugisha wa kwanza kushoto akiwa kwenye ndege na Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Bw.Matina Nkurlu,wakielekea Kigoma nyumbani kwa mshindi,mara ya makabidhiano ya fedha zake  alikipungnia mkono kuwaaga baadhi ya wafanyakazi wa Vodaco hapo jana kukamilika. 

Producer mkongwe nchini Bw.Fred Nyantori akifanya vitu vyake ndani ya pipa.. 

Mshindi wa shilingi Milioni 100 wa Promosheni ya Vodacom Mahela,Bw.Valerian Kamugisha,akijisomea habari mbalimbali za gazeti la Daily News ndani ya ndege kurudi kwao Kigoma,mara baada ya kukabidhiwa rasmi pesa zake hapo jana. 

Mshindi wa shilingi Milioni 100 wa Promosheni ya Vodacom Mahela,Bw.Valerian Kamugisha,akisukuma toroli lenye mizigo yake mara baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa Mwanza,akiambatana na Meneja wa Vodacom Foundation,Bi.Grace Lyon,wakiendelea na safari ya Kigoma nyumbani kwa mshindi,mara baada ya makabidhiano ya fedha zake  rasmi hapo jana.

No comments: