22.11.13

Saturday, May 18, 2013

(Photo) JCB'S WEDDING PARTY ARUSHA

Msanii wa Hip Hop nchini anayetokea mkoa wa Arusha "JCB" usiku huu kule Arusha ni sherehe ya harusi yake ambayo harusi hiyo waliifunga wiki kadhaa huko nyuma, sasa leo ndio ile sherehe yenyewe ambayo inafanyika pande za BOT iliyopo kule Arusha. Pichani ni JCB akiwa na mke wake anayeitwa Diana Jorgensen pamoja na wasimamizi wao.

No comments: