22.11.13

Saturday, June 15, 2013

(Photo) Ajali ya pikipiki Mbezi kwa Yusuph

Hii ajali imetokea sasa hivi hapa Mbezi kwa Yusuph huyu dereva mwenye gari alikuwa anakunja kuingia upande wa pili ndipo alipokutana na pikipiki iliyokuwa speed. Dereva wa pikipiki amepata majereha mwilini mwake

No comments: