22.11.13

Wednesday, June 05, 2013

(Photo's) LIVE kutoka LEADERS CLUB matayarisho ya kuuaga mwili wa ALBERT MANGWEHA kila kitu kimekamilika usiku huu

Mida hii hapa Leaders Club kila kitu kinakwenda sawa kabisa na kama mnavyoona steji imekamilika na kupambwa vizuri nadhani hadi kufika asubuhi mambo yatakuwa mazuri kabisa na muonekano utakuwa vizuri na watanzania waishia Dar es Salaam watapata nafasi yakutoa heshima zao za mwisho kwa ndugu yetu Albert Mangweha na baada ya kuuaga basi safari yakuelekea Morogoro itaanza.

 Sehemu hii ndipo mwili wa marehemu Albert Mangweha ndio utawekwa hapa tayari ya kuanza zoezi zima la kumuaga.

Kwa wale mashabiki wa EAST Cost nadhani watakuwa wanamfahamu msanii huyu anajulikana kwa jina la PUFF G nae amekuja japo apate picha ya ukumbusho kidogo maana baadae hapa patakuwa na msongamano wa watu wengi sana.

1 comment:

Anonymous said...

Anaitwa BUFF G not PUFF G