22.11.13

Tuesday, July 23, 2013

(News) Kaa tayari kwa album ya pili ya BELLE 9 "VITAMIN MUSIC"

Anaitwa Abednego Damian aka Belle 9, msanii ambaye alianza mziki kitambo ila mwaka 2008 ndipo alipopata nafasi yakujulikana na watanzania pale alipotoka na wimbo wake wa SUMU YA PENZI na mpaka kupelekea kutoka na album yake ya kwanza aliyoipa jina la Sumu Ya Penzi.

Sasa hivi Belle 9 anaiandaa album yake mpya ambayo itakuwa ni album ya pili iliyopewa jina la VITAMIN MUSIC. Mbali na album hiyo Belle 9 anatarajia kutoka na Mixtape yake aliyoipa jina la NO RAPERS NO MC NO SINGER. Mbali na hivi vyote anasema mashabiki wake watarajie ngoma mpya muda wowote baada ya mwezi huu mtukufu.

2 comments:

Unknown said...

pamoko belle 9.we do appriciate you.otherz watakuelewa 2

Unknown said...

pamoko belle 9.we do appriciate you.otherz watakuelewa 2