Tawhid kheri hio chukii binafsi ngomaaa ni kaliii sanaaa na vidiooo usisemee upata dhambi kwa mungu roho mbaya na choyooo hiooo bob umetishaaaaaa sanaaaa I loveee theee sooong
mmmmh watu wengine bhana ha ha ha naona ni zaidi ya chuki binafsi halafu mtu ana jina zuri la Tawhid...mtu katumia gharama na inaonekana then wewe unasema ya kawaida kweli?..dhambi kubwa hizo,bob katumia gharama ili mashabiki tufurahi then wasema kawaida?...what I know audio wamefanya watu watatu bob,man water n loso,haya video amafanya meja na wanavyosema wamefanya Tanga na hapa Dar...mi naona haupo sawa wewe jamaa au mwataka zile video zenu za kufanyika club sehemu moja tu nd no story?...bob achana nao watu km hao songa mbele kazi ni bab kubwa sanaaaa,God bless u
12 comments:
ni bongeeee ya ngomaaa balaa dunia nzima bob
Bob ametisha xna
yakawaida
Tawhid kheri hio chukii binafsi ngomaaa ni kaliii sanaaa na vidiooo usisemee upata dhambi kwa mungu roho mbaya na choyooo hiooo bob umetishaaaaaa sanaaaa I loveee theee sooong
We tawhid jipange.. Mdundo hatareee huo
We tawhid jipangeee.. Hyo ngma n hatareeee yan
Ukiachana na viuno mi nimependa kila kitu humu....hii video ni kali sana bob junior keep it up....ila miuno mh
Nice & lovely song big up BJ
mmmmh watu wengine bhana ha ha ha naona ni zaidi ya chuki binafsi halafu mtu ana jina zuri la Tawhid...mtu katumia gharama na inaonekana then wewe unasema ya kawaida kweli?..dhambi kubwa hizo,bob katumia gharama ili mashabiki tufurahi then wasema kawaida?...what I know audio wamefanya watu watatu bob,man water n loso,haya video amafanya meja na wanavyosema wamefanya Tanga na hapa Dar...mi naona haupo sawa wewe jamaa au mwataka zile video zenu za kufanyika club sehemu moja tu nd no story?...bob achana nao watu km hao songa mbele kazi ni bab kubwa sanaaaa,God bless u
achaneni na uyo twa nani sijui ukweli huwa unawachoma.the star without scandles,aliye juu bila mauzo ya scandle za kutengeneza........well done bob j
well done
jamaa ndo anapotea,wimbo sio level zake..
Post a Comment