22.11.13

Saturday, August 24, 2013

(Breaking News) Hii ndio ajali iliyompata msanii huyu wa Bongo Movie jana usiku akirudi kwake

Yalikuwa ni majira ya usiku wakati Hemedy PHD anamrudisha mshkaji wake Gelly wa Rhymes home kwake Sinza ndipo mshkaji wakati anarudi kwake ndipo ikatokea hii ajali mbaya kwa kugonga kalivati lililopo pembeni ya mtaro hapa maeneo ya Kijitonyama Kisiwani. Hemedy ameumia kwenye paja na kifuani ambapo staring ilimbana, kwa sasa bado yuko hosp anaendelea na matibabu.

6 comments:

WILE THE BEST said...

PHD,Mungu akucmame akupe afya njema.

WILE THE BEST said...

PHD,Mungu akucmame akupe afya njema.

WILE THE BEST said...

PHD,Pole kaka kwa majanga yaliyokupata.

Anonymous said...

Pole sana Phd mungu akuepushe na mabalaa

Unknown said...

pole zake ayse!!!!

Anonymous said...

pole sana, ila pamoja na pompaz(MASIFA) zote mzee unasukuma funcargo...upone haraka