22.11.13

Thursday, August 15, 2013

(News) Wanawake wajasiliam​ali wapokea mikopo kupitia mradi wa MWEI

 Meneja wa Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Bi. Rukia Mtingwa (kushoto) anashuhudia wakati Bi. Rukia Ali, mkazi wa Mbagala, Dar es Salaam anatia saini mkataba wa kupoea mpoko usio na riba ili kuendeleza biashara yake. Bi. Rukia Ali ni mmoja kati ya wamawake wajasiliamali 320 waliopokea jumla ya shillingi million ishirini kutoka Vodacom Tanzania kupitia mradi wake wa MWEI. 

 Meneja wa Mawasiliano wa Vodacom Tanzania, Bi. Rukia Mtingwa (kushoto), akimuelekeza jambo Bi. Rehema Sraji, mkazi wa Mbagala, Dar es Salaam kabla ya kumpa mpoko usio na riba ili kuendeleza biashara yake.  Bi. Rehema ni mmoja kati ya wamawake wajasiliamali 320 waliopokea jumla ya shillingi million ishirini kutoka Vodacom Tanzania kupitia mradi wake wa MWEI.

Bi. Rehema Sraji (kulia) mkazi wa Mbagala, Dar es Salaam, anatabasamu huku akihesabu kitita cha mpoko usio na riba aliyeupokea kutoka kampuni ya Vodacom Tanzania. Bi. Rehema ni mmoja kati ya wamawake wajasiliamali 320 waliopokea jumla ya shillingi million ishirini kutoka Vodacom Tanzania kupitia mradi wake wa MWEI. Anyeshuhudia kushoto ni Bi. Rukia Mtingwa, Meneja wa Mawasiliano wa Vodacom Tanzania.

No comments: