Hip-Hop Collabo toka kwa BadSpenderz waloipa jina "Wataelewa tu" wakiwakilisha Arusha na hapa wameshirikishwa wasanii kibao akiwemo Freddie FidoVato Bounako D Maujanja na Moplus, wimbo umetayarishiwa studio za Noizmekah chini ya producer Defxtro, Download HAPA na kwa mawasiliano/Mahojiano zaidi check na Badspenderz kupitia
No comments:
Post a Comment