Mshiriki Wa BBA The Chase
2013 Kutoka Tanzania Ammy Nando amewaandalia mashabiki wake Tour Ya
Party ijulikanayo kama NANDO’S PARTY TOUR, ambayo Itafanyika siku ya
Tarehe 5 October katika ukumbi wa Club Billcanas Dar-Es-Salaam kwa kiingilio
cha Elfu Kumi (10,000)
1 comment:
Make it hapn dwag.
Post a Comment