22.11.13

Wednesday, October 30, 2013

#NaniMtaniJembe NUNUA BIA YAKO YA KILIMANJARO SASA NA UFUATE MAELEKEZO HAYA HAPA.

1.       Shilingi milioni 100 zimetolewa kwa Simba na Yanga, kila timu imepewa milioni 50.

2.       Mashabiki wanatakiwa kununua Kilimanjaro Premium Lager na kutuma namba zilizo chini ya kizibo kwenda 154440.


3.       Shilingi 1,000 itahamaishwa toka kwa timu pinzani kwenda kwa timu ya shabiki baada ya kupiga kura

4.       SMS inagharimu kiasi cha kawaida cha mtandao, hakuna makato ya ziada.


5.       Matokeo ya yanaweza kuangaliwa katika website ya: http://kilitime.co.tz/campaigns/nmj/

6.       Kila wiki shilingi milioni 2 zinatolewa kwa mashabiki wanaopiga kura kwa wingi.


7.       Hashtag  zinaotumika: #NaniMtaniJembe #MtaniJembeYanga #MtaniJembeSimba

No comments: