Rais
Jakaya Kikwete akisalimiana na Meneja wa Vodacom wilaya ya Makambako
Benedict Kitogwa wakati Rais Kikwete alipofika kuzindua mnara wa 3G wa
kampuni ya Vodacom ikiwa ni moja kati ya minara mipya 16 ambayo kampuni
hiyo inaijenga Njombe kwa lengo la kuboresha huduma na kuwawezesha
wakazi wa Njombe kuwa na huduma za uhakika za intaneti. Kushoto ni Mkuu
wa Idara ya Uhandisi wa Vodacom Nguvu Kamando na Kulia ni Meneja wa
kampuni hiyo Wilaya ya Njombe Leonard Kameta.
Rais
Jakaya Kikwete akiuzindua rasmi mnara wa Vodacom wa 3G Mjini Njombe
utakaowawezesha wakaiz wa mji huo na vitongoji vyake kuweza kupata
huduma za Intaneti kupitia simu zao za mkononi. Vodacom inajenga minara
mipya 16 kwa lengo la kuboresha huduma zake na kuwawezesha wananchi kuwa
na uhakika wa huduma za mawasiliano ya simu za mkononi.
Rais
Jakaya Kikwete akisoma kibao cha jiwe la uzinduzi wa manta wa 35 wa
kampuni ya Vodacom mara baada ya kuuzindua mjini Njombe mwishoni mwa
wiki. Vodacom inajenga minara mipya 16 kwa lengo la kuboresha huduma
zake na kuwawezesha wananchi kuwa na uhakika wa huduma za mawasiliano ya
simu za mkononi mkoani humo.
No comments:
Post a Comment