MWANADADA SNURA anayetamba kwa Vibao vyake viwili MAJANGA na NIMEVURUGWA
anawaletea viuno vya kimajanga Wakazi wa Mto wa Mbu na Mererani Arusha
ambapo tarehe 5 October Ni usiku wa Majanga Mto wa Mbu UKUMBI WA DOLPHIN
na tarehe 6 October Majanga yanavurugwa Mererani UKUMBI WA MNYALU PUB
kwa kiingilio cha sh. 5,000/ kwa kila show huku akipewa Shavu na Kijana
wa Party People na Chafukwa na Roho Yung Omega.
UKIKOSA UNACHEKWA SANAAAAAA....
UKIKOSA UNACHEKWA SANAAAAAA....
No comments:
Post a Comment