Meneja Uhusiano wa Umma Vodacom Tanzania,Bw.Matina
Nkurlu(katikati)akiwaonesha moja ya namba ya simu ya mshindi
aliejishindia Pikipiki katika promosheni ya"Timka na Bodaboda" kwa Ofisa
wa huduma za ziada wa kampuni hiyo Rashid Maggid(Kushoto)na Msimamizi
wa bodi ya Michezo ya kubahatisha nchini,Bw.Emmanuel Ndaki.Wakati
wakichezesha droo ya promosheni hiyo,jumla ya washindi(125)wamejishindia
Pikipiki na fedha taslimu kiasi cha shilingi Milioni
(70)zimenyakuliwa.Ili kujiunga na promosheni hii TUMA NENO PROMO kwenda
15544.
Meneja Uhusiano wa Umma Vodacom Tanzania,Bw.Matina Nkurlu,akisisitiza
jambo kwa waandishi wa Habari (hawapo pichani)kuhusiana na umuhimu wa
watanzania na wateja wa Vodacom kushiriki katika Promosheni ya "Timka na
Bodaboda"Jumla ya washindi(125)wamejishindia Pikipiki na fedha taslimu
kiasi cha shilingi Milioni (70)zimenyakuliwa Wengine kushoto ni Ofisa wa
huduma za ziada wa kampuni hiyo Rashid Maggid na kulia ni Msimamizi wa
bodi ya Michezo ya kubahatisha nchini,Bw. Emmanuel Ndaki.Ili kujiunga
na promosheni hii TUMA NENO PROMO kwenda 15544.
Ofisa wa huduma za ziada wa Vodacom Tanzania,Bw.Rashid
Maggi(kushoto)Msimamizi wa bodi ya Michezo ya kubahatisha nchini,Bw.
Emmanuel Ndaki(kulia)wakifurahia jambo wakati Meneja Uhusiano wa Umma
Vodacom Tanzania Bw.Matina Nkurlu akizungumza na mmoja wa washindi wa
Pikipiki katika promosheni ya"Timka na Bodaboda"inayoendeshwa na kampuni
hiyo.Jumla ya washindi(125)wamejishindia Pikipiki na fedha taslimu
kiasi cha shilingi Milioni (70)zimenyakuliwa.Ili kujiunga na promosheni
hii TUMA NENO PROMO kwenda 15544.
No comments:
Post a Comment