Tarehe 20 mwezi huu msanii wa hip hop nchini ambaye anasikilia tuzo 3 kutoka Kili Music Award anatarajia kuja na wimbo mwingine mkali huku akiwa amemshirikisha mwanadada Nay Lee msanii anayewakilisha mkoa wa Mbeya vizuri tu kwenye maswala ya uwimbaji.
No comments:
Post a Comment