Madee akiwa tayari kabisa kwa makamuzi ya hatari, mpiga picha wangu alichelewa kidogo kupiga picha so akawakosa wasanii wengine na kuanza na Madee.
Ma dj wa show wa siku hiyo kushoto ni Mully B na Harun
Kama kawa mwanadafada wa mauno Baby Madaha alikuwepo Shinyanga kutoa show kali
Kazi ipo angalia jamaa wamesimama hewani hawajafika jukwaani, ni Chege kushoto akiwa na mwenzake Stiko.
Cowbama kama kawa habaatishi show zake huwa ni makamuzi kwa kwenda mbele.
Mwanadada Maunda Zorro.
JB na Nature wakikamua kama kawa
Dolo msanii kutoka TMK Wanaume Halisi akiwaonyesha mashabiki kwamba ni tatu bila
Vichwa mmeviona...
Marlaw na aliwaakikishia wakazi wa Shinyanga kwamba yeye ni mkali
Fid Q mzee wa Mwanza Mwanza alipata shangwe za kutosha
Vijana wa Ilala La Familia wakatimba kwa steji
Wanamwita Mr. Kabaisa aka Mr. Blue alipata shangwe za kutosha kutoka kwa mabinti wa Shinyanga
Joh Makini mwamba wa kaskazini
No comments:
Post a Comment