22.11.13

Wednesday, October 07, 2009

FIESTA ONE LOVE YAELEKEA MWANZA SASA.

Fid Q ndie msanii atakaewakaribisha wenzake katika mkoa wake wa Mwanza siku ya tarehe 10 pale kwenye uwanja wa CCM Kirumba.
Wasanii wanaozidi 10 wanatarajia kutumbuiza siku hiyo, nadhani wanaeleweka haina haja kurudi au sio wadau.... sema Ngosha Ngosha Ngosha
Basi kama vipi nikirudi nitakuwa full madini ya kuimarisha blog yetu

1 comment:

Arnold Kayanda said...

Hii Picha inaweza kutumiaka kwenye Cover hata kama hamkupanga wakati wa kuichukua!