Mangwea akiwa nje ya gari tayari kwa show ya Fiesta
Hapa nilikuwa na mwanangu wa ukweli.
Antonio na Fid Q.
B12 na Suma Lee
Zamaradi na Antonio
Antonio na mwanadada mahiri kutoka kwenye kipindi cha Leo Tena Suzy,
Mwalimu wa THT Band, braza na Hussen Machozi
Chidi Beenz akishow love na wadada
Maua mazuri yapendeza.
Katikati ni Antonio akiwa na flowerz
Kutoka kulia ni braza Suka, Pipi na braza naniiii kutoka Clouds TV
Kutoka kushoto ni Shydel, Zamaradi, Suka na Gea Habibu
Vimwana kutoka THT
ASK ME ABOUT OVI MAIL.. wafanyakazi wa OVI MAIL walikuwepo ndani ya nyumba kuhamasisha kuhusu utumiaji wa OVI Mail.
No comments:
Post a Comment