22.11.13

Thursday, October 22, 2009

SHOW YA FIESTA ONE LOVE MUSOMA.

Show ilianza kufunguliwa na msanii Quick Racka

Akafuatiwa na Belle 9 mtoto kutoka kule mji kasoro bahari

Baadae akafuatia Mr. Blue msanii kutoka pale Zizzou Entertainment

Madee kutoka Tip Top Connection lilikuwa shavu lake tena

Baby Madaha mwanadada anayekinyonga kiuna balaaaaaaaaaaa

Mzee wa kubembeleza Marlaw

Kutoka kiumeni Chege alikuwepo

Mangwear na Fid Q kwenye jukwaa moja Musoma.

Akabakia Fid mwenyewe kukimbiza

Maunda Zorro msanii kutoka kwenye familia yenye vipaji nae aliwabembeleza wakazi wa Musoma

Kijana wa Atown Joh Makini nae hakuwa nyuma kufanya vizuri

Ilalaaaaaaaaaaaaaaa Chidi Beenz kama kawa NO COMMENTS

Mwanadada Chiku kutoka La Familia alikuwa jukwaani pia

JB msanii kutoka TMK Wanaume Halisi

Siku zote kaka hufunga show, Juma Nature ndiye aliyewaambia wakazi wa Musoma kalaleni salama.

1 comment:

Anonymous said...

l luv z makeup baby madaha!