22.11.13

Friday, October 23, 2009

UCHAGUZI wa Viongozi TASABA India Bangalore

Ndugu WATANZANIA India-Bangalore Tunaelekea kwenye Uchaguzi wa TASABA,umefika wakati wa kupata Rais Bora na Viongozi Wenzake na Mpenda Haki,Mleta Maendeleo na si Fisadi,Mwenye ushirikiano kwa kila Mtanzania .Tafadhali tunaomba Umpigie Kura Ndugu yetu FIDELIS MSOMEKELA katika nafasi ya Urais TASABA na ANGEL TUNGARAZA kuwa makamu wa Rais hapa Bangalore India bila Kusahau William G Mziray kuwa Muweka hadhina wa TASABA.Kwa uongozi Huu TASABA itapata mafanikio na tutaweza kushiriki katika uchaguzi ujao bila shaka tukiwa Bangalore.

Wako katika Kujenga ushirikiano kwa watanzania.

No comments: