22.11.13

Wednesday, October 28, 2009

WAPI - SASA NI ZAMU YA DAR ES SALAAM, Kauli mbiu ni MPANGO MZIMA KAZI KUDHIBITI KAZI.


Karibuni kwa mara nyingine tena, husika na WaPi ...tamasha la kila mwezi. Kama kawaida"WaPi" inaendelea kwa muundo wa kila miezi mitatu. Baada ya mzunguko wa mikoani..Iringa mwezi wa 8-08-09, Arusha 3-10-09.


Tumerejea Daa. Safari hii kauli mbiu yetu ni Mpango Mzima... kwenye mada yetu "MPANGO MZIMA...kazi kudhibiti kazi"... KIJIWE MAARIFA tutakuwa na Boyd Oyier msanii mahiri wa uchoraji na usanifu taswira. Atafanya warsha ya uchoraji, usanifu wa taswira Yawaletea Nyota kali (mziki asilia), Wakwetu (motherland), Young-D(msanii chipukizi wa rap), Maya(mshairi), Msafiri Zawose, Momo (msanii wa hiphop toka Canada), Tafakari emsii mahiri chipukizi), Manzii(msanii wa hiphop toka Rwanda) Wasanii mbali mbali wa sauti ya handaki(undeground), Katika harakati. Madijei, ma emsii, machata, mabreka ,michoro mbali mbali, ushairi,ngoma, maigizo na usanifu mitindo.

Mahali: British Council, Dar Es Salaam
(maelekezo: Samora na Ohio, mkabala na Steers kati kati ya jiji)
Jumatano, 31-10-2009 mida; saa 9 -alasiri-hadi 2 usiku Mada ya mwezi:ni MPANGO MZIMA-kazi kudhibiti kazi

No comments: