Tumerejea Daa. Safari hii kauli mbiu yetu ni Mpango Mzima... kwenye mada yetu "MPANGO MZIMA...kazi kudhibiti kazi"... KIJIWE MAARIFA tutakuwa na Boyd Oyier msanii mahiri wa uchoraji na usanifu taswira. Atafanya warsha ya uchoraji, usanifu wa taswira Yawaletea Nyota kali (mziki asilia), Wakwetu (motherland), Young-D(msanii chipukizi wa rap), Maya(mshairi), Msafiri Zawose, Momo (msanii wa hiphop toka Canada), Tafakari emsii mahiri chipukizi), Manzii(msanii wa hiphop toka Rwanda) Wasanii mbali mbali wa sauti ya handaki(undeground), Katika harakati. Madijei, ma emsii, machata, mabreka ,michoro mbali mbali, ushairi,ngoma, maigizo na usanifu mitindo.
(maelekezo: Samora na
Jumatano, 31-10-2009 mida; saa 9 -alasiri-hadi 2 usiku Mada ya mwezi:ni MPANGO MZIMA-kazi kudhibiti kazi
No comments:
Post a Comment