Mr. Blue akiwa jukwaani akikamua
Hussen Machozi hakuwa nyuma, nae alihakikisha amefanya vizuri na watu walimkubali.
HBC Kazini, watu wazima wanaoheshimika hapa kwetu bongo.
Jose Mtambo akafikia zamu yake, hapa akiwa na Chidi Beenz
Chege Chigunda mtoto wa mama Said akiwa kwenye jukwaa la fiesta, Chege aliimba Live siku hiyo.
Marlaw nilipenda show yake sana, alijituma stejini kwa kuimba na kucheza.
Swich zote zilikuwa ON walipoingia watangazaji wa Clouds FM dj Fet na B12 na kutambulisha wasanii watakaofuata, walipendeza kinyamaaaaaaaaaaaaaaa
CP aingiapo stejini huwa harembi, hapa akiwa na vijana wa THT.
Mwanadada Shaa alifanya show kali na nzuri, kila mara alikuwa anajituma kwa kucheza na kukizungusha kiuno.
Black Rhino alipendeza kimavazi na kwenye show alifanya poa sana, BIG UP
Quick Rocka usimpimie, NO COMMENTS
Adamu MChomvu mtangazaji wa Clouds FM alipata shangwe nyingi alipoingia kwenye jukwaa
Gnako akiwa stejini, hapa alipanda yeye kwenye wimbo wa DOgo Hamidu unaoitwa 26 Number na baadae akabaki stejini akikamua mwenyewe.
Unapenda nini ili na mimi nifurahi....Jafarah akiwa stejini na mwanadada Fatma.
Wateule wakarudi tena.
Ikafika zamu ya Langa kuwa kwa steji.
King Kong kutoka Ilalaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
No comments:
Post a Comment