kApiteniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Gadna G. Habash
Hapa hata aje nani watakaa tu, mnabishaaaaaaa
Mwanadada Zamaradi alitoka poa sana.
Black Rhino akionyesha CD iliyopigwa sign na Spliff Star
Dad akiwa na Man dojo
Quick Rocka na Izzo Biznes
Rukia akiwa na shosti wake Shaa.
Quick na Suma Lee
Maproducer wawili wanaosumbua bongo kwa sasa, kushoto ni Lamar akiwa na Luchi
Luchi akiwa na braza jina limenitoka msaada kwenye tuta.
Mangwear akiwa braza Big Willy
Fanani na Mangwear
Prof Jay na Baby Madaha, watu wengine wakiwa kwenye mapozi mazuri wengine wanaandika eti hawa niwapenzi, watu bwana daah.
Langa na Babuu wakitaa.
Yang D akiwa na Cyrill
Vijana wadogo kwenye game la bongo fleva wakikutana basi huwa ni furaha tupu, Yang D na Baby Boy
Jux & Cyrill
Haya sasa ndugu yangu tuingie kazini...
B12 na Mangwear
Shemeji na Black Rhino.
Marlaw, Lamar na CP
Big Willy, Shemeji na dj choka
Vijana wakijadili jambo
Enzi zileeeeeeeeeeeeee, hapa Fanani, Bigg Willy pembeni Niggar Jay, aaaaah watu hawakai
Hatimaye One Love imewakutanisha watu wengi mfano wao ni kama hawa Daz Nundaz.
No comments:
Post a Comment