22.11.13

Tuesday, November 24, 2009

SHOW LOVE YA FIESTA DAR ES SALAAM.

kApiteniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Gadna G. Habash

Hapa hata aje nani watakaa tu, mnabishaaaaaaa

Mwanadada Zamaradi alitoka poa sana.

Black Rhino akionyesha CD iliyopigwa sign na Spliff Star

Dad akiwa na Man dojo

Quick Rocka na Izzo Biznes

Rukia akiwa na shosti wake Shaa.

Quick na Suma Lee

Maproducer wawili wanaosumbua bongo kwa sasa, kushoto ni Lamar akiwa na Luchi

Luchi akiwa na braza jina limenitoka msaada kwenye tuta.

Mangwear akiwa braza Big Willy

Fanani na Mangwear

Prof Jay na Baby Madaha, watu wengine wakiwa kwenye mapozi mazuri wengine wanaandika eti hawa niwapenzi, watu bwana daah.

Langa na Babuu wakitaa.

Yang D akiwa na Cyrill

Vijana wadogo kwenye game la bongo fleva wakikutana basi huwa ni furaha tupu, Yang D na Baby Boy

Jux & Cyrill

Haya sasa ndugu yangu tuingie kazini...

B12 na Mangwear

Shemeji na Black Rhino.

Marlaw, Lamar na CP

Big Willy, Shemeji na dj choka

Vijana wakijadili jambo

Enzi zileeeeeeeeeeeeee, hapa Fanani, Bigg Willy pembeni Niggar Jay, aaaaah watu hawakai

Hatimaye One Love imewakutanisha watu wengi mfano wao ni kama hawa Daz Nundaz.

No comments: