SHOW ILIYOFANYIKA KATIKA CHUO CHA SANAA BAGAMOYO (TASUBA - Taasisi ya Sanaa na Utamaduni)
Mashabiki wakiwa jukwaani na mwanadada Ray C
Ray C
Fid Q ndio msanii aliyefunga show kwa siku hiyo.
Lord Eyez & dj choka
Michael na dj choka.
4 comments:
Anonymous
said...
eti choka huyo michael mbona habadili shati tatizo ni nini kila sherehe ana shati hilo hilo na vijinsi vyake vinavobana vinaboa hizo staili za themanini kwa kina bob marley
4 comments:
eti choka huyo michael mbona habadili shati tatizo ni nini kila sherehe ana shati hilo hilo na vijinsi vyake vinavobana vinaboa hizo staili za themanini kwa kina bob marley
Mimi nina swali na tena nakuomba unijibu kama unajua hii habali,,eti Ray c ni mpenzi wa Fid Q??naomba unijibu kama unajua.
mhhh huyo choka ndugu yangu sisi hatujui ukweli kwanini hadilishi hilo flana lake!
wewe nani ka kwambia wala hana mahusiano nae
Post a Comment