The King of afternoon show B12 akishow love na wakazi wa Sinza
Wasanii waliozunguka na xxl siku hiyo ni Quick Racka, Baby Madaha na Mangwear.
Hapa XXL ilikuwa ikipiga story na washkaji
Mtoto wa Sinza akiwa analiwekea baraka gari la Fiesta kwa mshindi atakae lichukua.
Mangwear, Baby Madaha na Quick
Jiachie dada yangu
ONE LOVE 2009.
1 comment:
hivi b12 ni kijana ama mzee na hiyo miwani lazima aivae?
Post a Comment