Jana majira ya jioni pale maeneo ya Shopperz Plaza kwenye club ya RUNWAY ndipo palipofanyika video mpya ya Mangwear inayoitwa CNN. Washkaji walikuwa kibao cha ajabu kuna watu waliniomba niwapige picha ila nisiandike majina yao.
Video hii imetengenezwa na kampuni ya Kallage's Picture
Video hii imetengenezwa na kampuni ya Kallage's Picture
1 comment:
hiyo chata yako kiukweli siyo nzuri,yaani hata hiyo dj choka yenyewe haisomeki vizuri.siyo siri inaharibu hata picha.jaribu kubuni umpya stamp ya chata yako,isomeke vzr na isiharibu muonekano wa picha.by the way upo juu.big up!
Post a Comment