Ya kwanza nikutoka kwa mzee wetu Zahir Ally Zorro na wimbo wake mpya unaoitwa
BARUA PEPE akiwa amemshirikisha mwanadada Stara Thomas.
Wa pili ni kutoka kwa Chidi Beenz na wimbo wake unaitwa
CHAGUO LANGU, amefanyika katika studio ya Fishcrab producer akiwa ni Lamar.
Wimbo wa tatu nikutoka kwa O Ten wimbo unaitwa NAFUNIKA amewashirikisha wasanii wenzake Squeezer na Domokaya, wimbo huu umetengenezwa na studio inayoitwa MPOAFRICA
No comments:
Post a Comment