Ukumbi ulikuwa kama hivi.
Msanii kutoka Nairobi Kenya Amani alikuwepo na alitoa show safi sana
Belle 9 msanii kutoka Morogoro.
Mashabiki kibao na huyo unayemuona hapo mbele kavaa tishet ya blue anajulikana kwa jina la Mwl. Pingili.
Dully Sykes aka Mr Misifa aka Handsome aka Brotherman
Joh Makini mwamba wa kaskazini alifanya show kali sana
Nonini msanii kutoka Nairobi-Kenya
Mansu-li akiwa amepozi backstage
SURA YA MBUZI.
Dully akiwa na binamu yake
Dully & Slim
Mangwear & Dully
Rey & dj choka
Quick & Ngwear
Joh Makini & Izzo B
Pozi lakufungia mwaka
1 comment:
mbona huyo jamaa slim na dully sykes wanapenda kukumbatiana kumbatiana
Post a Comment