Hili ndilo gari lililotumika kwa safari ya kwenda mjini Dodoma.
Slim na swahiba wake Dully Sykes
Calling....calling...
Wakati tuko kwenye gari msanii kutoka Nairobi-Kenya aliyevaa tishet ya njano Nonini, hapa alikuwa anabadilishana mawazo na wasanii wenzake wa TZ, kule nyuma anaonekana ni Joh Makini.
Baada ya kufika tukaungana kumuomba mungu.
No comments:
Post a Comment