22.11.13

Thursday, December 10, 2009

UHURU DAY KWA MWANADADA JAY DEE PART 5.

Huyu jamaa bwana sitomsahau, sijui alinikubali ndio maana akawa ananipendelea kinywaji kila nikienda, daaah

Moracka, B12 & Nas 3

Huu mduara bwana daaah watu walisepetuka kweliiiiiiiiiiiiiii, mmemuona Jaffaray aliyekaa kwenye kiti.

No comments: