Nilifika Bagamoyo salama na usiku huo huo nikaalikwa chuo cha Bagamoyo kulikuwa na Party fulani na msanii aliyekuwa anawaburudisha wanafunzi alikuwa ni huyo Jhiko Man. Jamaa anaimba Regger safi sana.
Hawa niwanafunzi wa pale bagamoyo walikuwa wanatoa hisia zao kwa raia
No comments:
Post a Comment