Baada ya kutoka kwenye video kama majira ya saa 6 usiku, moja kwa moja mtu mzima nikajichanganya Sanaa PUB kwenye Party ya Miller, so hapa nilikutana na model Luck
Model mwingine niliyebahatika kukutana nae ni Tetemaria
Baada yakutoka
Sanaa PUB wakati narudi nyumbani
Sinza mtu mzima ikabidi niingie
Mzalendo PUB Kijitonyama niona yaliojiri katika
Fleva Night na hapa nilikutana na washkaji zangu kutoka
EATV & Radio na kufurahi sanaa na hatimaye majira haya ya saa 12 asubuhi ndio naingia kitandani.
No comments:
Post a Comment