Jana nilikuwa pale Mbalamwezi kwenye facebook party na nilifurahi kukutana na washkaji ambao nimarafiki zangu kwenye facebook. Hapo juu tisheti zilikuwa zikiuzwa zenye nembo ya facebook
hapa walikutana watu wawili wenye majina yakufanana...mimi naitwa HUGOLINE na mwenzangu anaitwa HUGO.
1 comment:
dah mi nimeipenda hio ya kamba..
Post a Comment